MFUKO WA PSSSF WACHANGIA MILIONI 10 KWA MATIBABU YA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI MOI
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umechangia kiasi cha shilingi milioni 10 kusaidia matibabu ya watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi wanaopatiwa matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
June 9, 2026