SAUTI ZA WANACHAMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Kiwanda cha Kimataifa cha Bidhaa za Ngozi Kilimanjaro (KLICL) ambacho kinamilikiwa kwa ubia kati ya Mfuko na Jeshi la Magereza kipo katika hatua nzuri.
March 2, 2026 · Benefits