• Call Free: 0800 110040
  • Portal Admin Form
 
  • Change Language: SW
 
  • Enquiries
  • FAQs
  • Home
  • About PSSSF
    • About Us
    • Organisation Offices
    • Board of Trustees
    • Management
  • Benefits
    • Retirement Benefit
    • Death Benefit
    • Survivor Benefit
    • Maternity Benefit
    • Unemployment Benefit
    • Sickness Benefit
    • Invalidity Benefit
  • Media Center
    • News
    • Publications
    • Photo Album
    • Video
  • Self Service
    • Member Portal
    • Billing Portal
    • QR-Codes
    • Portal Admin Form
  • Investments
    • Real Estate
    • Industial Investment
  • Tenders
    • General Procurement Notice
    • Awarded
    • Current Tender
  • e- Mrejesho
 
  Home   |   News Board
author image

PSSSF

To provide high quality social security services using competent, motivated staff and appropriate technology.

Benefit Types

  • Retirement Benefit
  • Death Benefit
  • Survivour Benefit
  • Maternity Benefit
  • Unemployment Benefit
  • Sickness Benefit
  • Invalidy Benefit

Online Services

  • Member Portal
  • Billing Portal
  • QR-Codes
NIKIWA NA SIMU YANGU NIKO NA PSSSF
2025-06-05 00:00:00

Mwanachama wa PSSSF, Hawa Hamad, akionesha kwa furaha ukurasa wa PSSSF kiganjani kwake mara baada ya kuelekezwa jinsi ya kujiunga na PSSSF Kidijitali leo kwenye maonesho ya 12 ya Biashara na Utalii Tanga, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwahako

Na Mwandishi Wetu, Tanga

“Nikiwa na simu yangu niko na PSSSF,” hayo ni maneno ya mwanachama wa PSSSF Bi. Hawa Hamad wa jijini Tanga muda mfupi baada ya kujiunga na PSSSF Kidijitali na kuanza kujihudumia yeye mwenyewe.

Afisa Matekelezo Mwandamizi PSSSF, Frederick Paschal (kushoto), akimuelekeza mwanachama wa PSSSF, Hawa Hamad, jinsi ya kujiunga na PSSSF Kidijitali leo kwenye maonesho ya 12 ya Biashara na Utalii Tanga, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwahako


Bi. Hawa mbaye ni mtumishi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) jijini Tanga, ameyasema hayo Juni 4, 2025 kwenye maonesho ya 12 ya biashara na utalii Tanga, yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwahako.


Maofisa wa PSSSF wamefanya huduma ya kutembelea banda kwa banda kujua changamoto zao, kutoa huduma mbalimbali na kutoa elimu ya Mfuko “PSSSF Banda kwa banda” leongo ikiwa ni kuwafikishia huduma wanachama wake kwenye maonesho mbalimbali yanayozikutanisha taasisi za umma na wananchi.

Mwanachama wa PSSSF, Rutta Kihama akionesha simu janja baada ya kuelekezwa na kujiunga na PSSSF Kidijitali leo kwenye maonesho ya 12 ya Biashara na Utalii Tanga, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwahako

Mwanachama mwingine aliyefurahishwa na huduma ya PSSSF kidijitali baada ya kujiunga ni Bw. Rutta Kihama, amesema kupitia PSSSF Kidijitali ofisi imehamia mkononi mwake.




About PSSSF

The main purpose is to collect contributions and payment of terminal benefits to employees of public service.The act shall apply in mainland Tanzania.


READ MORE

Quick Links

  • Billing Portal
  • Member Portal
  • Employer Portal
  • Announced Tenders

Get In touch

  • PSSSF House HQ , Makole, Dodoma
  • P.O.BOX 1501
  • info@psssf.go.tz
  • 0800 110040
  • Mon - Fri 8.00 - 17.00. Sat,Sun CLOSED

Zonal Offices

  • Dodoma: +255 26 2323338
  • Ilala: +255 22 2120912
  • Kinondoni: +255 22 2123848
  • Temeke: +255 22 2861039
  • Mwanza: +255 28 2506114
  • Mbeya: +255 25 2502243
  • Arusha: +255 27 2970284
  • Morogoro: +255 23 2934188
  • Mtwara: +255 23 2334661
  • Geita: +255 28 2520470
Copyright © 2024 psssf. All rights reserved.
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Services
  • Disclaimer