• Tupigie bure: 0800 110040
   
 
x
Mafao Yatolewayo

Tunatoa Mafao Yafuatayo Kwa Wanachama Wetu

HABARI MPYA

PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania jinsi ya kuwasilisha nyaraka kidijitali

Bw. Mbaruku Magawa akitoa elimu ya matumizi ya mtandao wa kuwasilisha fomu za madai ya mafao na kujiunga kwa wanachama wapya kwa Kamishna wa Kamisheni ya Utawala na Rasikimali Watu CP. Suzan Kaganda wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na Jeshi la Polisi kwa Maafisa wake jijini Dar es Salaam, tarehe 14 Mei, 2024.

Soma Zaidi