• Call Free: 0800 110040
  • Portal Admin Form
 
  • Change Language: SW
 
  • Enquiries
  • FAQs
  • Home
  • About PSSSF
    • About Us
    • Organisation Offices
    • Board of Trustees
    • Management
  • Benefits
    • Retirement Benefit
    • Death Benefit
    • Survivor Benefit
    • Maternity Benefit
    • Unemployment Benefit
    • Sickness Benefit
    • Invalidity Benefit
  • Media Center
    • News
    • Publications
    • Photo Album
    • Video
  • Self Service
    • Member Portal
    • Billing Portal
    • QR-Codes
    • Portal Admin Form
  • Investments
    • Real Estate
    • Industial Investment
  • Tenders
    • General Procurement Notice
    • Awarded
    • Current Tender
  • e- Mrejesho
 
  Home   |   News Board
author image

PSSSF

To provide high quality social security services using competent, motivated staff and appropriate technology.

Benefit Types

  • Retirement Benefit
  • Death Benefit
  • Survivour Benefit
  • Maternity Benefit
  • Unemployment Benefit
  • Sickness Benefit
  • Invalidy Benefit

Online Services

  • Member Portal
  • Billing Portal
  • QR-Codes
PSSSF IMETOA ELIMU YA HUDUMA NA UWEKEZAJI KWA WABUNGE
2025-04-04 00:00:00

Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Adbul-Raza Badru, akitoa wasilisho wa shughuli za uendeshaji wa PSSSF kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma Bungeni, Jijini Dodoma.

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Aprili 03,2025 umetoa elimu ya shughuli za Uwekezaji na Huduma zinazotolewa na PSSSF kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji naMitaji ya Umma (PIC)

Akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo hayo Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko Bw. Abdul-Razaq Badru ameiambia kamati hiyo kuwa shughuli kuu za Mfuko ni Usajili, Ukusanyaji wa michango, uwekezaji na ulipaji wa maafao kwa wanachama.Aidha, ameiambia kamati kuwa Mfuko unawekeza ili kuzalisha kiwango kilichochangiwa na mwanachama ili anapostaafu aweze kulipwa zaidi kutoka na mabadiliko ya kiuchumi na kuongeza kuwa Mfuko unawekeza kwa kuangalia ustahimilivu wa Mfuko miaka 50 mbele.

Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Abdul-Razaq Badru, akiwasilisha mada ya shughuli za uendeshaji wa PSSSF kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma Bungeni, Jijini Dodoma.

Katika kikao hicho, PSSSF ilieleza ilivyowekeza katika sekta mbalimbali, ikiwemo ujenzi wa nyumba, masoko ya hisa, viwanda na majengo ya ofisi.

Waheshimiwa wabunge wameipongeza PSSSF kwa juhudi kubwa katika kutoa huduma za kisasa, kitaalamu na zenye ubunifu mkubwa, ambazo zinasaidia katika kuwahudumia wanachama kwa wakati na kupunguza malalamiko.

Wabunge hao walitoa wito kwa PSSSF kuendelea na juhudi za kutoa elimu kwa wanachama na wastaafu ili kuwajengea uelewa mzuri kuhusu matumizi ya fedha zao katika uwekezaji ili kuongeza uwazi na kuimarisha uhusiano kati ya PSSSF na wanachama wake.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mh. Augustine Vuma Holle ameipongeza PSSSF kwa ubunifu na utaalam katika kuwahudumia wanachama na wastaafu na kuwaomba PSSSF kuendelea kuwekeza kwenye maeneo yenye tija ili kuleta tija kwa Jamii na taifa kwa ujumla

About PSSSF

The main purpose is to collect contributions and payment of terminal benefits to employees of public service.The act shall apply in mainland Tanzania.


READ MORE

Quick Links

  • Billing Portal
  • Member Portal
  • Employer Portal
  • Announced Tenders

Get In touch

  • PSSSF House HQ , Makole, Dodoma
  • P.O.BOX 1501
  • info@psssf.go.tz
  • 0800 110040
  • Mon - Fri 8.00 - 17.00. Sat,Sun CLOSED

Zonal Offices

  • Dodoma: +255 26 2323338
  • Ilala: +255 22 2120912
  • Kinondoni: +255 22 2123848
  • Temeke: +255 22 2861039
  • Mwanza: +255 28 2506114
  • Mbeya: +255 25 2502243
  • Arusha: +255 27 2970284
  • Morogoro: +255 23 2934188
  • Mtwara: +255 23 2334661
  • Geita: +255 28 2520470
Copyright © 2024 psssf. All rights reserved.
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Services
  • Disclaimer