• Call Free: 0800 110040
  • Portal Admin Form
 
  • Change Language: SW
 
  • Enquiries
  • FAQs
  • Home
  • About PSSSF
    • About Us
    • Organisation Offices
    • Board of Trustees
    • Management
  • Benefits
    • Retirement Benefit
    • Death Benefit
    • Survivor Benefit
    • Maternity Benefit
    • Unemployment Benefit
    • Sickness Benefit
    • Invalidity Benefit
  • Media Center
    • News
    • Publications
    • Photo Album
    • Video
  • Self Service
    • Member Portal
    • Billing Portal
    • QR-Codes
    • Portal Admin Form
  • Investments
    • Real Estate
    • Industial Investment
  • Tenders
    • General Procurement Notice
    • Awarded
    • Current Tender
  • e- Mrejesho
 
  Home   |   News Board
author image

PSSSF

To provide high quality social security services using competent, motivated staff and appropriate technology.

Benefit Types

  • Retirement Benefit
  • Death Benefit
  • Survivour Benefit
  • Maternity Benefit
  • Unemployment Benefit
  • Sickness Benefit
  • Invalidy Benefit

Online Services

  • Member Portal
  • Billing Portal
  • QR-Codes
KIWANDA CHA KLICL KITATENGENEZA FAIDA KUBWA
2025-02-18 00:00:00

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiangalia viatu vinavyotengenezwa na kiwanda cha KLICL cha Moshi mkoani Kilimanjaro.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Kiwanda cha Kimataifa cha Bidhaa za Ngozi Kilimanjaro (KLICL) ambacho kinamilikiwa kwa ubia kati ya Mfuko na Jeshi la Magereza kipo katika hatua nzuri.

Mhe. Waziri amesema hayo leo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Serikali (PIC) walipotembelea kiwanda hicho kilichoko mjini Moshi. "Jukumu langu kubwa ni kuhakikisha kuwa mipango na malengo tuliyojiwekea yanafikiwa, niwahakikishie kuwa kiwanda kitakapofikia uzalishaji kwa asilimia 100 kitatengeneza faida kubwa na tutaondoa gharama nyingi na tutakua pazuri," alisema Mhe. Kikwete.


Naye, Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Abdul-Razaq Badru aliwaambia wajumbe hao kuwa Mfuko una mkakati wa kuwekeza katika miradi tofauti, na kila mradi utazingatia kutoa huduma kwa jamii.

Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Abdul-Razaq Badru akuzungumza na Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Serikali (PIC) walipotembelea leo kiwanda cha KLICL.


Aidha, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Augustine Vumma Hole, alishauri kiwanda hicho kuboresha bidhaa wanazozalisha kuendana na wakati bila kuacha ubora. "Jitahidini sana mnyumbulike kwenye fasheni bila kuacha ubora unaotakiwa kitaifa na kimataifa, mpaka sasa mmefanya kazi nzuri." Alisema Mhe. Vuma.

Mhe. Vuma, pia alipongeza uzalishaji unaofanyika katika kiwanda hicho pia kuongeza uzalishaji ili kuhakikisha fedha zilizowekwa na Serikali katika mradi huu zirudi kwa wakati. Wajumbe wa Kamati hiyo walishauri kutafuta kampuni makubwa ya uzalishaji bidhaa za ngozi ili kushirikiana nao.

Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Serikali (PIC) kwenye picha ya pamoja na Uongozi wa PSSSF pamoja na Uongozi wa Kiwanda cha KLICL walipotembelea kiwanda hicho.

About PSSSF

The main purpose is to collect contributions and payment of terminal benefits to employees of public service.The act shall apply in mainland Tanzania.


READ MORE

Quick Links

  • Billing Portal
  • Member Portal
  • Employer Portal
  • Announced Tenders

Get In touch

  • PSSSF House HQ , Makole, Dodoma
  • P.O.BOX 1501
  • info@psssf.go.tz
  • 0800 110040
  • Mon - Fri 8.00 - 17.00. Sat,Sun CLOSED

Zonal Offices

  • Dodoma: +255 26 2323338
  • Ilala: +255 22 2120912
  • Kinondoni: +255 22 2123848
  • Temeke: +255 22 2861039
  • Mwanza: +255 28 2506114
  • Mbeya: +255 25 2502243
  • Arusha: +255 27 2970284
  • Morogoro: +255 23 2934188
  • Mtwara: +255 23 2334661
  • Geita: +255 28 2520470
Copyright © 2024 psssf. All rights reserved.
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Services
  • Disclaimer